MGENI IBRAHIMU NDIYE BIBI BOMBA KWA MWAKA 2013

clip_image001Mgeni  Ibrahimu ndiye aliye twaa taji la ushindi wa BIBI BOMBA mwaka huu iliyofanyikia Escape Two jana,Washiriki waliofika siku ya jana walikua 11 na kuchujwa hadi kubakia 5clip_image001[5]Nao walikua ni Bi Chiku Ommary  alishika namba 5 namba 4 ilishikwa na Bi Agata Mhinya na namba 3 ilishikwa na Bi Tabiza Tungalaja, namba 2 kwa Bi Vero na hatimaye namba 1 kuchukuliwa na Bi Mgeni Ibrahimu  aka Bi Mgeni.clip_image001[7]Mshindi wa taji  la bibi bomba mwaka huu alizawadiwa zawadi ya kitita cha pesa za Kitanzania shilingi MILION 12 na mshidi wa pili hakutoka hivihivi nae alipata pesa za Kitanzania shilingi laki tano (500,000) na wale waliobahatika kuingia kwenye tano bora walipata shilingi laki tatu (300,000) kila mmoja.

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post