(Picha hii haiusiani na habari hii)
Vijana 11 wanadaiwa kukamatwa wakiwa wanafanya mazoezi ndani ya msitu wa Makolionga mkoani Mtwara, huku wakiwa na CD 25 zenye mafunzo mbalimbali toka Kundi la Al Qaeda na Al Shabaab.
Aidha, wanadaiwa kukutwa na zana tofauti za zana hatari pamoja na vyakula vya aina mbalimbali!
SOURCE: Breaking News RADIO 1 STEREO
Tags
HABARI ZA KITAIFA