Unknown Unknown Author
Title: ZIARA YA NAIBU WAZIRI WA MAENDELEO YA JAMII,MHE. UMMY MWALIMU KATIKA MKOA WA PWANI
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii,Mhe.Ummy Mwalimu akizungumza na baadhi ya Wanafunzi wa Sekondari za Chanzige na Kimani Wilayani Kisarawe ...

clip_image002Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii,Mhe.Ummy Mwalimu akizungumza na baadhi ya Wanafunzi wa Sekondari za Chanzige na Kimani Wilayani KisaraweNaibu Waziri Mhe.Ummy Mwalimu akisisitiza jambo wakati wa mkutano kati ya Wananfunzi, Watendaji wa Halmashauri na Madiwani, Katikati ni Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe Mhe. Fatma KimarioMhe.Ummy Mwalimu akiwasalimia watoto wanaosoma katika Shule ya Awali ya Mtakatifu Stephano Shahidi, alipowatembelea janaMhe. Ummy Mwalimu katika picha ya pamoja na watoto wa shule ya awali ya Mtakatifu Stephano Shahidi,Wakuu wa Shule hiyo,Walimu na Baadhi ya Watendaji wa Halmashauri

Na Asteria Muhozya, Pwani

Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto Mhe, Ummy Mwalimu ameanza Ziara yake MKoa wa Pwani katika Wilaya za Kisarawe, Rufiji, Mkuranga, na Mafia ambapo anatarajia kutembelea Utekelezaji wa Miradi na Shughuli za Maendeleo ya Jamii Mkoani humo.

Katika Ziara yake jana Mhe, Ummy amepata nafasi ya kukutana na Watendaji Wakuu wa Wilaya ya Kisarawe ambapo taarifa ya utekelezaji wa Wilaya imewasilishwa kwake, Vilevile amefanya kikao na Maafisa Maendeleo ya Jamii na Maafisa Ustawi wa Jamii , Amekutana na Wananfunzi wa Sekondari za Kimani na  Chanzige, na ametembelea Shule ya Watoto ya Awali ya Mtakatifu Stephano.

About Author

Advertisement

Post a Comment Blogger

Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii

Note: Only a member of this blog may post a comment.

 
Top