TAMASHA LA JINSIA LAENDELEA KUTOA ELIMU NA BURUDANI

clip_image002Msanii wa moja ya vikundi vya ngoma vilivyokuwa vikitoa burudani katika maadhimisho ya Tamasha la Jinsia Tanzania akicheza na nyoka aina ya chatu.Kina mama wa wakicheza kwa kuzunguka duara (mduara) kwenye tamasha lia jinsia.

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post