JE WAJUA KAMA LULU ANAKIPAJI CHA KUIMBA? MCHEKI HAPA

clip_image002Muigizaji maarufu Hapa nchini Tanzania mwana dada Elizaberth Micheal (LULU) ameonyesha kuwa yeye amejaaliwa na vipaji zaidi ya kimoja cha uigizaji na pia anaweza kuimba na kulitawala jukwaa,

Hayo aliyadhihirisha siku ya uzinduzi wa Filamu yake mpya ambayo ipo sokoni hivi sasa inayokwenda kwa jina la Foolish Age na kuonyesha uwezo wa Kuimba wimbo wa YAHAYA wa msanii nguli wa miondoko ya zook hapa nchini tanzania Lady Jaydee.. Hebu tusimalize maneno Mcheki mwenye hapo Chini

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post