SHILOLE ALIPOLONGA NA VOA ALIPOKUWA ZIARANI MAREKANI

clip_image001Msanii Shilole alipofanya ziara yake nchini Marekani alipata ya kutembelea idhaa ya Kiswahili ya VOA na kufanya mahojiano na mpiganaji Sunday Shomari. Bofya kamshale hapo chini kuungana naye alipokuwa ndani ya studio za VOA akieleza yale aliyoyapata Marekani na siri ya staili ya muziki wake. Hii ikiwa ni sehemu ya Kwanza.source: issamichuzi blog

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post