Msanii Shilole alipofanya ziara yake nchini Marekani alipata ya kutembelea idhaa ya Kiswahili ya VOA na kufanya mahojiano na mpiganaji Sunday Shomari. Bofya kamshale hapo chini kuungana naye alipokuwa ndani ya studio za VOA akieleza yale aliyoyapata Marekani na siri ya staili ya muziki wake. Hii ikiwa ni sehemu ya Kwanza.source: issamichuzi blog
About Author
JE, UNA HABARI, PICHA, TANGAZO, MAKALA NA USHAURI? USISITE KUWASILIANA NASI SIMU / WHATSAPP NAMBA 0625535420.
Advertisement
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post a Comment Blogger Facebook
Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii
Note: Only a member of this blog may post a comment.