GARI LATUMBUKIA MTARONI MTAA WA GHANA MJINI LINDI

DSC05684Gari aina ya Halier Yenye namba za Usajili T 970 BMP imetumbukia mtaroni Katika Barabara ya Ghana manispaa ya Lindi Mkabala kabisa na Paris Club Hivi Punde lakini kwa Jitihada za wasamalia wema wamejitahidi na Kuitoa Mtaroni na mmiliki  wa gali hilo kuweza kuendelea na Safari yakeDSC05686DSC05687Vijana wakidai posho kutoka kwa dereva wa Gali hilo ambaye hakuweza kufahamika Jina lake….

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post