BASI LA LIVAI LAPATA AJALI MBAYA ENEO LA MKURANGA

clip_image001clip_image001[8]Basi la abiria la livai linalofanya safari zake Kutoka Dar es salaam kwenda nachingwea limepata ajali eneo la Mkuranga Mkoa wa Pwani na kuumia vibaya sehemu ya mbele hadi sasa haijathibitishwa kifo chochote kutokea. Habari zaidi zitawajia hapa hapa Endelea Kuwa nasiclip_image001[6]

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post