DIAMOND PLATNUM NDIYE MSANII ANAYEPENDWA AFRIKA MASHARIKI, CHEKI VIDEO HII

clip_image001Diamond Platnumz alithibitisha kuwa ndiye msanii anayependwa zaidi Afrika Mashariki baada ya mashabiki wa Mombasa kuwarushia chupa wasanii wengine waliokuwa wakitumbuiza wakimtaka yeye apande kwenye stage baada ya kumsubiria kwa muda mrefu.

Tuache kuongea sana hivi ndivyo Diamond alivyotisha! Check Video

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post