BREAKING NEWS: JAPAN YAKUMBWA NA MAFURIKO MAKUBWA, YAUA WATU

clip_image001Mafuriko yalioliotokea upande wa North Japan baada ya mvua kubwa sana kunyesha umeatarisha maisha ya watu baada ya nyumba zao kuchuliwa na mafuriko hayo huku watu wapatao watano wemefariki dunia kutokana na mafuriko hayo

Magorofa mengi yameanguka na watu kukosa sehemu za kuishi na pia kupoteza vitu vyao vya dhamaniHomes have been evacuated. Jumba lililo anguka na kusababisha vifo vya watu watano

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post