ANASWA AKIKWAPUA SIMU KWENYE MAONYESHO YA SABA SABA JIJINI DAR.

clip_image001Kijana anayetuhumiwa kukwapua simu(aliyeshikwa) ndani ya maonesho ya 37 ya Biashara jijini Dar es Salaam akipelekwa kwenye vyombo vya usalama.clip_image002Kijana huyo akisindikizwa kwenda kwenye kituo cha polisi, ndani ya maonesho ya 37 ya Biashara jijini Dar es Salaam akipelekwa kwenye vyombo vya usalama.

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post