YALIO JIRI UWANJA WA JAMHURI LEO HII WATU 10 WAZIMIA. HAKUNA ALIEPETEZA MAISHA NI WAKATI WA KUMUAGA ALBERT MANGWEA

600285_10151698767338792_856882014_nHuyu ni mmoja Kati ya niliyoshuhudia wameanguka hapa uwanjani Jamuhuri Morogoro, amechukuliwa na huduma ya kwanza.296192_10151698728668792_2031641596_nUwanja wa Jamuhuri Morogoro watu waliokusanyika kumuaga Marehemu Ngwea.934629_10151698757608792_1670053740_nUwanja wa Jamuhuri Morogoro Ulivyo kuwa wakati wa kumuaga Marehemu Albert Mangwea, kuna dada alizimia akachukuliwa na watu wa huduma ya kwanza.Hii ni kwenye mlango wa kuingia uwanja wa Jamuhuri kuuaga mwili wa Marehemu Ngwea Morogoro.Hii ilikuwa foleni ya kwenda kumuaga marehemu Albert Mangwea kwenye uwanja wa Jamuhuri Morogoro.295509_10152916043890525_1672230411_nWananchi ni wengi waliojitokeza kwenda kumuhifadhi msanii albert mangwea kwenye nyumba yake ya milele kama ionekanavyo pichani hapo ni makaburini.clip_image001Hii ndio nyumba ya Milele ya Msanii Albert mangwea aliye fariki huko nchini South African na kuzikwa leo Nyumbani kwao Morogoro. Daima tutakukumbuka kwa Ucheshi wako na Kwa kujituma kwako katika Tasnia nzima ya Muziki nchini.

Mungu ailaze roho ya marehemu mahala pema.

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post