HomeHABARI ZA WASANII UPDATES MAPOKEZI MSIBA MANGWEA: WASANII WAFURIKA UWANJA WA NDEGE byUnknown -2:26:00 PM 0 Kwa sasa wapoUwanja wa ndege wa Dar es Salaam wakiusubiri mwili wa marehemu Albert Mangweha.. Mwili wa marehem Ngwea, tayari ushafika uwanja wa ndege Dar na tayari ndugu zake wameshauthibitisha kama kweli ni mwili wa Ngwea... Tags HABARI ZA WASANII Facebook Twitter