Unknown Unknown Author
Title: SWALI LA WIKI: JE KWANINI KILA INAPOTOKEA MACHAFUKO JWTZ NDIO LINALOCHUKUA JUKUMU?
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Kama kila inapotokea Machafuko/Mauaji JWTZ ndilo linalochukua majukumu yote ya eneo na hata uchunguzi wa matukio je kwa maana hiyo kazi ya J...
996840_10200941742402278_73844593_nKama kila inapotokea Machafuko/Mauaji JWTZ ndilo linalochukua majukumu yote ya eneo na hata uchunguzi wa matukio je kwa maana hiyo kazi ya Jeshi la Polisi ni ipi haswa, au ndio tuseme Jeshi la Polisi haliaminiki tena na Wananchi au halitambui na kutenda wajibu wake inavyotakikana??!!

Kama kila jambo lina mipaka yake basi sio bure kuna tatizo katika pande hizo kushindwa kutambua mipaka yao katika utendaji wao na kupima tangu awali kwamba kwa tatizo hili ni level ya Polisi au la ni level ya Jeshi!

Hebu tuzungumze nduu msomaji…….

Original Story by  Salvatory Mkami

About Author

Advertisement

Post a Comment Blogger

Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii

Note: Only a member of this blog may post a comment.

 
Top