Kama kila inapotokea Machafuko/Mauaji JWTZ ndilo linalochukua majukumu yote ya eneo na hata uchunguzi wa matukio je kwa maana hiyo kazi ya Jeshi la Polisi ni ipi haswa, au ndio tuseme Jeshi la Polisi haliaminiki tena na Wananchi au halitambui na kutenda wajibu wake inavyotakikana??!!
Kama kila jambo lina mipaka yake basi sio bure kuna tatizo katika pande hizo kushindwa kutambua mipaka yao katika utendaji wao na kupima tangu awali kwamba kwa tatizo hili ni level ya Polisi au la ni level ya Jeshi!
Hebu tuzungumze nduu msomaji…….
Original Story by Salvatory Mkami
Post a Comment Blogger Facebook
Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii
Note: Only a member of this blog may post a comment.