Meneja wa Vodacom kanda ya Nyanda za juu kusini Bw. Elisha Tengeni (kulia) akimkabidhi Tsh milioni 2 Mshindi wa droo kubwa ya Promosheni ya Cheka Nao Bw. Isaya Sengo-mkazi wa makunguru Mbeya, ambae ni mshindi, kati ya washindi 5 waliojishindia shilingi Milioni 2 kila mmoja, baada ya kuzitoa kwenye M PESA alizotumiwa toka makao makuu ya Vodacom kwa ushindi wake kwenye Promosheni hiyo inayowawezesha wateja kuongea na mitandao yote bila mipaka kwa bei nafuu. Ili wateja kujiunga na promosheni hiyo wanatakiwa kupiga *149*01#.
Home
»
HABARI ZA KITAIFA
» MMOJA KATI YA WASHINDI 5 WA PROMOSHENI YA CHEKA NAO AKABIDHIWA KITITA CHAKE
About Author
JE, UNA HABARI, PICHA, TANGAZO, MAKALA NA USHAURI? USISITE KUWASILIANA NASI SIMU / WHATSAPP NAMBA 0625535420.
Advertisement
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post a Comment Blogger Facebook
Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii
Note: Only a member of this blog may post a comment.