JISHINDIE 1ML KILA MWEZI KUTOKA KWA REGINALD MENGI, KWA KUANDIKA PENDEKEZO, SOMA HAPA

clip_image001Regidald Mengi, Mkurugenzi wa IPP MEDIA

TOPIC

Miaka 50 baada ya Uhuru, waTanzania wengi bado wapo kwenye hali mbaya ya umasikini na wengi hawawezi kumudu milo miwili kwa siku.
Je, wewe unaamini una pendekezo zuri la suluhu ya tatizo hili? Tembelea LINK HII http://j.mp/12qZ50h ili uwe FOLLOWER wa Dr. Reginald Mengi na kisha umweleze jibu lako kwa kumtaja (mention) @regmengi.
Jibu zuri la mwezi litajishindia TZS 1,000,000/= (kila mwezi) na mshindi atatangazwa! Usiwe mchoyo; washirikishe na wenzako kwa kubonyeza SHARE button

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post