Unknown Unknown Author
Title: HII NDIO KAULI YA WAZIRI MKUU PINDA YA KUWARUHUSU ASKARI POLISI KUWAPIGA WAFANYA VURUGU NCHINI BUNGENI.
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda amesema jeshi la polisi litaendelea kuwakabili na kuwadhibiti ikiwa ni pamoja na kupiga wale wote wanaokiuka amri ...

clip_image001WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda amesema jeshi la polisi litaendelea kuwakabili na kuwadhibiti ikiwa ni pamoja na kupiga wale wote wanaokiuka amri halali inayotolewa katika kulinda amani ya nchi iliyopo.
Mhe Pinda amesema hayo bungeni mjini Dodoma wak
ati ya kipindi cha maswali kwa waziri mkuu akijibu swali aliloulizwa juu ya matukio ya polisi kudaiwa kupiga wananchi katika matukio ya hivi karibuni.
KUPATA HII VIDEO BOFYA KATIKATI YA PICHA HAPO JUU ILI KUWEZA KUONA.

About Author

Advertisement

Post a Comment Blogger

Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii

Note: Only a member of this blog may post a comment.

 
Top