HAWA NDIO WASHIRIKI WALIOCHAGULIWA KUSHINDANIA TUZO MPYA ZA YOUTH FOR AFRICA. UNDER 30

clip_image002Hizi ni tuzo mpya zilizoanzishwa na kampuni ya YOUTH FOR AFRICA  kwa ajili ya vijana ambao wako chini ya umri wa miaka 30 . Na haya ndio majina ya vijana hao ambao watachuana katika kinyang’anyiro cha Tuzo hizo …

Mmoja wa wafanyakazi wa kampuni ya GongaMx ambae ni Michael Mlingwa “Mx” ametajwa kama nominee katika kipengele cha kuwania tuzo ya Entertainment.

Check orodha ya washiriki wengine na vipengele wanavyoshindania …entertainmentfashionmediadesign-and-artssocial-impactsportswajasiriamali

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post