Unknown Unknown Author
Title: FALCAO RASMI ATUA MONACO
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
KLABU ya Monaco usiku wa jana imethibitisha kumnasa mshambuliaji wa kimataifa wa Colombia, Radamel Falcao kutoka klabu ya Atletico Madrid. ...

clip_image002KLABU ya Monaco usiku wa jana imethibitisha kumnasa mshambuliaji wa kimataifa wa Colombia, Radamel Falcao kutoka klabu ya Atletico Madrid.

Mabingwa hao wa Ligi Daraja la Kwanza Ufaransa, wamepania kuipindua Paris St Germain katika matawi ya juu ya Ligi Kuu Ufaransa.

Monaco imesema katika tuvuti yake kwamba: "Monaco imefikia makubaiano na  Atletico Madrid na mchezani mwenyewe (Radamel Falcao) kwa uhamisho wa msimu  wa 2013-14.

About Author

Advertisement

Post a Comment Blogger

Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii

Note: Only a member of this blog may post a comment.

 
Top