PROF. JAY RASMI MWANACHAMA CHADEMA

935802_598337780184132_801053504_nMsanii mkongwe wa muziki wa kizazi kipya maarufu kama Bongo Fleva, Joseph Haule (Prof. Jay) amejiunga rasmi leo na chama cha CHADEMA. Hili litakuwa ni jibu tosha kwa washabiki wake ambao walikuwa wakiuliza maswali mengi kupitia account yake ya twitter kuhusu yeye ni mfuasi wa chama gani hapa nchini. naye alitweet kuwa

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post