LAMPARD AINUSURU ENGLAND KULALA NYUMBANI MBELE YA IRELAND

clip_image001Mwokozi; Frank Lampard aliifungia England bao la kusawazishaclip_image001[6]Furaha: Shane Long akishangilia bao lake

ENGLAND imetoka sare ya 1-1 na Jamhuri ya Ireland katika mchezo wa kirafiki usiku kwenye Uwanja wa Wembley.Katika mchezo huo uliochezeshwa na refa William Collum wa Scotland, Ireland ndio waliokuwa wa kwanza kupata bao ugenini, mfungaji Shane Long dakika ya 13, akiunganisha kwa kichwa krosi ya Seamus Coleman kutoka wingi ya kulia.
Frank Lampard aliwasawazishia wenyeji dakika 10 baadaye, yaani dakika ya 23 kuftaia kazi nzuri ya Daniel Sturridge ambaye aliambaa uipande wa kushoto wa box, kabla ya kummiminia krosi mfungaji, aliyemtungua kipa Glenn Whelan.
Ashley Cole alipewa kofia ya dhahabu baada ya kutimiza mechi 100 za timu ya taifa ya England leo.
Katika mchezo huo, kikosi cha England kilikuwa: Hart/Foster dk46, Johnson/Jones dk46, Cahill, Jagielka, Cole/Baines dkl54, Walcott, Lampard, Carrick, Oxlade-Chamberlain/Milner dk87, Rooney na Sturridge/Defoe dk33.
Ireland: Forde, Coleman, O'Shea, St. Ledger, Kelly, Walters/Sammon dk82, McCarthy, Whelan/Hendrick dk74, McGeady/McClean dk68, Long na Keane/Cox dk66.

Tonderful: Roy Hodgson presents Ashley Cole with a golden cap to mark 100 appearances for EnglandRoy Hodgson akimkabidhi Ashley Cole kofia ya dhahabu kwa kutimiza mechi 100 EnglandOn the slide: Ireland's Stephen Kelly makes a tackle on England's Theo WalcottStephen Kelly wa Ireland akimdhibiti Theo Walcott wa EnglandOff target: Wayne Rooney lobs a shot wide of the goal for EnglandWayne Rooney akipiga shuti lililopaaGetting shirty: England captain Ashley Cole sees his shirt pulled by Irleand's Seamus ColemanNahodha wa England, Ashley Cole akivutwa jezi na Seamus Coleman wa IrelandTaking a tumble: Ireland's Shane Long and England's Gary Cahill battle for an aerial ballShane Long wa Ireland akipambana na Gary Cahill wa EnglandLevel terms: Frank Lampard (right) pokes home the equaliser for EnglandFrank Lampard (kulia) akiisawazishia England

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post