IZZO B KUFANYA SHOW NDANI YA MBEYA

clip_image001Siku ya tarehe 31 ndani ya Mbeya City alikotoka Rapper Izzo B patawaka moto, moto utawaka ndani ya Club Vibe, ikiwa ni mara yake ya kwanza kufanya show yake yeye kama yeye, kwa kiingilio cha buku 7 tu huku akisindikizwa na wasanii wa pale pale Mbeya na Rapper kutoka Morogoro Stamina. Watu wa Mbeya hii ni time yenu kumpa sapoti mtu wenu anaeikubaili Mbeya.

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post