SAFARI YA MWISHO YA BI KIDUDE YATIMIA!

clip_image003Mwanamuziki mkongwe, Bi Kidude binti Baraka aliyefariki dunia jana amezikwa leo mchana huko Zanzibar na katika mazishi hayo alihudhuria Mhe. Rais Dr. Ali Mohamed Shein. Pichani ni jeneza la marehemu Kidude likielekea makaburini.clip_image003[6]Mhe. Rais na viongozi wengine wakitoa heshima zao za mwisho mbele ya marehemu Bi Kidue kabla ya kuhifadhiwa kwenye jeneza.

clip_image003[8]
Msanii Naseeb Abdul ,Diamond; naye alikuwepo kutoa heshima zake za mwisho.
clip_image003[10]Sehemu ya umati uliohudhuria mazishi hayo upande wa kina mamaclip_image003[12]Mhe. rais wa zanzibar Dr Shein alipokuwa akiwasili kwenye mazishi hayo.

 HAPA NDIPO ALIPOZIKWA MAREHEMU BI KIDUDE
PICHA: IMELDA MTEMA-GPL-ZANZIBAR
Previous Post Next Post