Itazame nyumba atakayohamia Trey Songz, kodi ni Tshs milioni 56 kwa mwezi

Hii ni nyumba ambayo Trey Songz anahamia, huko Hollywood. Anatarajia kuhamia April 1. Ni nyumba iliyopo kwenye eneo la 13,000 sq. ft. ikiwa jirani kabisa na nyumba anayoishi Ne-Yo na ambayo hata hivyo sio yake bali amepanga tu na atakuwa akilipa dola 35,000 kwa mwezi sawa na kama shilingi milioni 56 za kitanzania.ScreenShot2013-03-05at35357PMIna vyumba 10, mabafu 12, movie theater, gym na lift. Zitazame picha zenyewe.
ScreenShot2013-03-05at35316PMScreenShot2013-03-05at35328PMScreenShot2013-03-05at35345PMScreenShot2013-03-05at35450PMScreenShot2013-03-05at35457PMScreenShot2013-03-05at35505PMScreenShot2013-03-05at35513PMScreenShot2013-03-05at35542PMScreenShot2013-03-05at35600PM

Previous Post Next Post