MISS TANZANIA ATOA ZAWADI YA VALENTINE LEO JIJINI DAR ES SALAAM.

Mrembo anaye shikilia taji la Redds Miss Tanzania Brigit Afred leo amekabidhi zawadi ya Valentine kwa watu mbalimbali jijini Dar es Salaam kwenye msimu huu wa sikukuu ya wapendanao, ambapo kinywaji hicho kinaendelea kutoa zawadi pichani akimkabidhi zawadi mwanamitindo Hadija Mwanamboka.Mdau mwingine akikabidhiwa zawadi mchana wa leo.Mtangazaji wa Clouds FM Ephraim Kibonde naye alikuwa miongoni mwa watu waliobahatika kupata zawadi hizo.

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post