HII NDIO SABABU YA OMMY DIMPOZ KUSHINDWA KUMTAMBULISHA DEM WAKE

"Maisha ya kimapenzi yako private sana kwangu mimi, lakini itakapofikia time watu wataweza kuelewa, ninachoogopa saa hizi ni kwamba ninaweza nikawatambulisha huyu, kumbe ninayemtambulisha ye hayuko tayari kwa kipindi hicho...kwa hiyo naangalia kama kweli yuko na mimi kwa shida na raha au ananipenda kama Omary sio Ommydimpoz, hapo ndio naweza kuonyesha na watu wajue kuwa nipo kwenye mahusiano au vipi, kwahiyo sasa hivi hivyo vitu naogopa kidogo, kutokana na leo naweza kutambulisha huyo kesho haupo nae mwisho wa siku nakujakuonekana ni msanii kama kioo cha jamii kumbe ni mchafuzi" amesema Dimpoz

Kumsikiliza Bofya hapa

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post