Rais Jakaya Kikwete na Mkurugenzi Mkazi wa Benki ya Dunia nchini Tanzania, Philippe Dongier, wanatarajia kuweka jiwe la msingi la ujenzi wa barabara ya Mradi wa mabasi yaendayo kasi jijini Dar es Salaam.
Kwamujibu wa Taarifa iliyotolewa kwa vyombo vya habari nchini, inasema uwekaji wa jiwe hilo la Msingi utafanyika eneo la Jangwani jijini Dar es Salaam kuanzia majira ya saa mbili asubuhi.
Post a Comment Blogger Facebook
Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii
Note: Only a member of this blog may post a comment.