MADIWANI HALMASHAURI YA WILAYA LINDI SAFARINI DODOMA

image Mwenyekiti wa Halmashauri ya Lindi Mhe Makwinya  akiongoza kundi la madiwani walipokuwa safarini jana kuelekea Dodoma...Leo jumatatu watahudhuria bunge kumuunga mkono Waziri wa mambo ya nje na ushirikiano  kimataifa,Bernad Membe ambae pia ni Diwani mwenzao  na Mbunge wa jimbo la Mtama atakapowasilisha Bajeti ya Wizara hiyo 








image
imageimage
imageMdau Abdulaziz nae akiwa katika msafara huo wa Madiwani hapa wakiwa katika Mapumziko katika Hotel ya Gairoimage
image
Previous Post Next Post