NIJUZE NIJUZE Author
Title: UCHAGUZI ARUMERU:CHADEMA YAANZA KUONGOZA VITUO VYA MIJINI
Author: NIJUZE
Rating 5 of 5 Des:
Wakati upigaji kura ukiwa umemalizika tangu saa kumi kamili jioni hii, matokeo yaliyoanza kubandikwa yanaonyesha kuwa CHADEMA inaongoza kati...

Wakati upigaji kura ukiwa umemalizika tangu saa kumi kamili jioni hii, matokeo yaliyoanza kubandikwa yanaonyesha kuwa CHADEMA inaongoza katika vituo kadhaa vya mjini ikiwemo eneo la Liganga walikoweka kambi yao wakati wa kampeni. Taarifa zaidi zitaendelea kuja baadaye…

About Author

Advertisement

Post a Comment Blogger

Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii

Note: Only a member of this blog may post a comment.

 
Top