UCHAGUZI ARUMERU:CHADEMA YAANZA KUONGOZA VITUO VYA MIJINI

Wakati upigaji kura ukiwa umemalizika tangu saa kumi kamili jioni hii, matokeo yaliyoanza kubandikwa yanaonyesha kuwa CHADEMA inaongoza katika vituo kadhaa vya mjini ikiwemo eneo la Liganga walikoweka kambi yao wakati wa kampeni. Taarifa zaidi zitaendelea kuja baadaye…

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post