SOKO LA SAMAKI FERI LAWAKA MOTO

Soko la feri upande wa kukaangia samaki limeshika moto leo tarehe 4/4/2012 asubuhi katika muda wa saa nne (4) mpaka sita (6) nakulazimu gari la zima moto yaani fire kuja kuuzima moto huo ambao ulikuwa unaendelea kuzimwa na wananchi wengi ambao  ni wachuuzi wa samaki sokoni hapo.

Hata hivyo haikujulikana ni hasara kiasi gani imesababishwa na moto huo na hakuna mtu yeyote aliyejeruhiwa katikla tukio hilo. Moto ukiendelea kuunguza soko hilo leo asubuhi.

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post