KHADIJA MADEBE ON FACEBOOK WALL SAY'S
Wanawake 2mjue mungu,2ache wivu na roho mbaya kuumizana wenyewe kwa wenyewe,kurogana kila cku sio vizur uyo mganga hata yy ni binadam kama ww uchawi una mwisho lakin baraka za mungu hazina mwisho 2pendane"HAPPY WOMAN'S DAY"
SI WANANWAKE TU WALIO TOA MAONI YAO PIA AKINA BABA NAO HAWAKUWA NYUMA
SEIF KIRUNGI ON FACEBOOK WALL
LEO KINAMAMA NI SIKU YENU ITUMIENI SIKU HII KUREKEBISHA KASORO ZENU KWA MFANO MUKIPATA NAFASI YA KUONGEA HUWA MARA NYINGINE MUNAONGEA MAMBO YA AJABU SANA MAVAZI NAYO KWENU NITATIZO.ASILIMIA KUBWA YAKINADADA WAMEKOSA HAYA KABISAA
HIZO NDIZO BAADHI YA JUMBE ZILIZO TAWALA SIKU YA LEO KATIKA SIKU PEKEE AMBAYO WANAWAKE WOTE DUNIANI WANA AZIMISHA SIKU YAO HIVYO WAMEASWA KUBADILIKA ILIKUJILETEA MAENDELEO KATIKA MAISHA YAO YA KILA SIKU.
Tags
TANZANIA