UPDATES: Yaoung Africa Fc Vs Zamaleck Fc

image Huyu ndie Hamisi Kiiza ndio aliyo badilisha ubao wa magoli Uwanja wa Taifa kipindi Cha kwanza baada ya kupokea pasi nzuri kutoka kwa Shadrak Nsajigwa. hadi halftime yanga wako mbele kwa Bao moja.

Mungu ibariki yanga

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post