VODACOM YAJA NA SHARE AND CARE

image Ukiwa ni mwisho wa mwaka na kuelekea katika sikukuu ya chrismmass Vodacom wanaendelea kujitolea kwa jamii.image Ofisa Mkuu wa Masoko na Uhusioano wa Vodacom Tanzania, Mwamvita Makamba (kulia) akiongea jambo na Mkurugenzi rasilimali watu wa Vodacom Stela Chiwango pamoja na Mkuu wa kitengo cha Vodacom Foundation Yessaya Mwakifulefule wakati wa uzinduzi wa kampeni hiyo ya Share and Care.image Mpango huu huelekezwa zaidi kwa watoto yatima kuwapa mahitaji mbalimbali ili waweze kusherehekea vyema sikukuu.

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post