Nawatakia kila la kheri wanafunzi wa Sekondari wanaofanya mitihani ya kumaliza kidato cha nne kuanzia leo nchini kote, kumaliza kidato cha nne ni mwanzo tu wa safari ndefu ya masomo, hivyo ongezeni bidii katika mitihani yenu ili muweze kufaulu na hatimaye kuendelea na elimu za juu zaidi.
Tags
FORM FOUR 2011