NIJUZE NIJUZE Author
Title: KILA LA KHERI FORM FOUR
Author: NIJUZE
Rating 5 of 5 Des:
Nawatakia kila la kheri wanafunzi wa Sekondari wanaofanya mitihani ya kumaliza kidato cha nne kuanzia leo nchini kote, kumaliza kidato cha ...

image

Nawatakia kila la kheri wanafunzi wa Sekondari wanaofanya mitihani ya kumaliza kidato cha nne kuanzia leo nchini kote, kumaliza kidato cha nne ni mwanzo tu wa safari ndefu ya masomo, hivyo ongezeni bidii katika mitihani yenu ili muweze kufaulu na hatimaye kuendelea na elimu za juu zaidi.

About Author

Advertisement

Post a Comment Blogger

Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii

Note: Only a member of this blog may post a comment.

 
Top