-
kuna wafu wamefufuka na kwenda kupiga kura leo hii,
-
Watu kadhaa hawaoni majina yao vituoni
-
Wapo waliopiga kura mwaka jana leo hii kadi na majina haviendani.
-
Kuna baadhi vituo vifaa havijafika,
-
Sehemu nyingine vimepelekwa kwa baiskeli na punda kutokana na ubovu wa miundombinu.
-
Vijana wamejitokeza kwa wingi kuliko mwaka jana,
-
Hari ni shwari mpaka sasa.
About Author
JE, UNA HABARI, PICHA, TANGAZO, MAKALA NA USHAURI? USISITE KUWASILIANA NASI SIMU / WHATSAPP NAMBA 0625535420.
Advertisement
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post a Comment Blogger Facebook
Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii
Note: Only a member of this blog may post a comment.