-
kuna wafu wamefufuka na kwenda kupiga kura leo hii,
-
Watu kadhaa hawaoni majina yao vituoni
-
Wapo waliopiga kura mwaka jana leo hii kadi na majina haviendani.
-
Kuna baadhi vituo vifaa havijafika,
-
Sehemu nyingine vimepelekwa kwa baiskeli na punda kutokana na ubovu wa miundombinu.
-
Vijana wamejitokeza kwa wingi kuliko mwaka jana,
-
Hari ni shwari mpaka sasa.
Kwa mujibu wa ITV Igunga Live,
Tags
Siasa Ya Tanzania