IGUNGA UPDATES: Marehemu wafufuka kupiga kura!

    Kwa mujibu wa ITV Igunga Live,

  • kuna wafu wamefufuka na kwenda kupiga kura leo hii,

  • Watu kadhaa hawaoni majina yao vituoni

  • Wapo waliopiga kura mwaka jana leo hii kadi na majina haviendani.

  • Kuna baadhi vituo vifaa havijafika,

  • Sehemu nyingine vimepelekwa kwa baiskeli na punda kutokana na ubovu wa miundombinu.

  • Vijana wamejitokeza kwa wingi kuliko mwaka jana,

  • Hari ni shwari mpaka sasa.

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post