Kaimu Mkuu wa Wilaya ya Temeke ambaye ni Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Jordan Rugimbana (kulia)akimpa mkono wa shukurani Mkuu wa Kitengo cha Vodacom Foundation Yessaya Mwakifulefule mara baada ya kukabidhiwa madawati 250 yenye thamani ya zaidi ya shilingi Milioni 22 kwa ajili ya shule za msingi tano za Wilaya ya Temeke,Shule zilizofaidika na msaada huo ni Mgulani,Tandika,Kizuiani,Muongozo,Kilamba,Hafla hiyo imefanyika katika shule ya msingi Mgulani jijini Dar es Salaam.
Kaimu Mkuu wa Wilaya ya Temeke ambaye ni Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Jordan Rugimbana akiwasalimu baadhi ya wanafunzi wa shule ya Msingi Mgulani mara alipofika shuleni hapo kupokea msaada wa madawati 250 yenye thamani ya zaidi ya shilingi Milioni 22 kutoka Vodacom Foundation kwa ajili ya shule za msingi tano za Wilaya ya Temeke,Shule zilizofaidika na msaada huo ni Mgulani,Tandika,Kizuiani,Muongozo,anaeangalia kushoto Mkuu wa kitengo cha Vodacom Foundation Yessaya Mwakifulefule,Hafla hiyo imefanyika katika shule ya Msingi Mgulani jijini Dar es Salaam.
Tags
Vodacom Tanzania