Tanzania imetangaza kikosi kitakachopambana na Morrocco katika michuano ya kufuzu kucheza fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika mwakani.
Taarifa iliyotolewa na chama cha soka cha Tanzania TFF imesema Taifa Stars ambayo inafundshwa na Jan Poulsen itaondoka Oktoba 6 kwenda Morrocco, na kujitupa uwanjani Oktoba 9 mjini Marrakech.
Kikosi hicho cha wachezaji 23 ni:
Makipa:
Shabani Dihile (JKT Ruvu Stars)
Juma Kaseja (Simba)
Shabani Kado (Yanga)
Mabeki:
Shadrack Nsajigwa (Yanga)
Erasto Nyoni (Azam)
Idrissa Rajab (Sofapaka, Kenya)
Amir Maftah (Simba)
Aggrey Morris (Azam)
Juma Nyoso (Simba)
Victor Costa (Simba)
Viungo:
Henry Joseph (Kongsvinger IL, Norway)
Nurdin Bakari (Yanga)
Shabani Nditi (Mtibwa Sugar)
Jabir Aziz (Azam)
Nizar Khalfan (Vancouver Whitecaps, Canada)
Mrisho Ngassa (Azam)
Ramadhan Chombo (Azam)
Washambuliaji:
Abdi Kassim (DT Long An, Vietnam
Mbwana Samata (TP Mazembe, Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo- DRC)
Dan Mrwanda (DT Long An, Vietnam)
Athuman Machupa (Vasalund IF, Sweden)
John Bocco (Azam)
Hussein Javu (Mtibwa Sugar)
Post a Comment Blogger Facebook
Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii
Note: Only a member of this blog may post a comment.