Klabu ya Manchester City imemsimamisha mshambuliaji wake Carlos Tevez baada ya kukataa kuingia uwanjani kama sub katika ya jana dhidi ya Bayern Munich.
Taarifa rasmi ya klabu ilisema:
“Manchester City inathibitisha kwamba mshambuliaji Carlos Tevez amesimamishwa mpaka hapo itapotolewa taarifa nyingine katika kipindi kisichopungua wiki mbili.
“Kusimamishwa huku kwa Tevez kunafuatia madai ya vitendo alivyovifanya wakati wa mchezo wa Jumanne tuliofungwa 2-0 na Bayern Munic.
“Mchezaji hatoruhusiwa kushiriki katika mechi wala mazoezi wakati wote wa adhabu.”
Tags
EPL 2011/12