NIJUZE NIJUZE Author
Title: Carlos Tevez Asimamishwa kucheza Man City
Author: NIJUZE
Rating 5 of 5 Des:
Klabu ya Manchester City imemsimamisha mshambuliaji wake Carlos Tevez baada ya kukataa kuingia uwanjani kama sub katika ya jana dhidi ya Bay...

imageKlabu ya Manchester City imemsimamisha mshambuliaji wake Carlos Tevez baada ya kukataa kuingia uwanjani kama sub katika ya jana dhidi ya Bayern Munich.

Taarifa rasmi ya klabu ilisema:

“Manchester City inathibitisha kwamba mshambuliaji Carlos Tevez amesimamishwa mpaka hapo itapotolewa taarifa nyingine katika kipindi kisichopungua wiki mbili.

“Kusimamishwa huku kwa Tevez kunafuatia madai ya vitendo alivyovifanya wakati wa mchezo wa Jumanne tuliofungwa 2-0 na Bayern Munic.

“Mchezaji hatoruhusiwa kushiriki katika mechi wala mazoezi wakati wote wa adhabu.”

About Author

Advertisement

Post a Comment Blogger

Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii

Note: Only a member of this blog may post a comment.

 
Top