Carlos Tevez Asimamishwa kucheza Man City

imageKlabu ya Manchester City imemsimamisha mshambuliaji wake Carlos Tevez baada ya kukataa kuingia uwanjani kama sub katika ya jana dhidi ya Bayern Munich.

Taarifa rasmi ya klabu ilisema:

“Manchester City inathibitisha kwamba mshambuliaji Carlos Tevez amesimamishwa mpaka hapo itapotolewa taarifa nyingine katika kipindi kisichopungua wiki mbili.

“Kusimamishwa huku kwa Tevez kunafuatia madai ya vitendo alivyovifanya wakati wa mchezo wa Jumanne tuliofungwa 2-0 na Bayern Munic.

“Mchezaji hatoruhusiwa kushiriki katika mechi wala mazoezi wakati wote wa adhabu.”

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post