NIJUZE NIJUZE Author
Title: FAINALI ZAA KUSAKA TOP MODEL LAFANA JIJINI DAR
Author: NIJUZE
Rating 5 of 5 Des:
Baadhi ya warenmbo ambao hawakufanikiwa kuingia katika Fainali wakiwa wameketi Ni washiriki wakipita mbele ya majaji Warembo 5 kati ya...

image

Baadhi ya warenmbo ambao hawakufanikiwa kuingia katika Fainali wakiwa wameketi

imageimage

Ni washiriki wakipita mbele ya majaji

image

Warembo 5 kati ya 30 wanaowania taji la Vodacom Miss Tanzania 2011, ambao wamefanikiwa kuingia fainali za kusaka taji la TOP MODEL wakiwa wamejipanga mbele ya majaji baada ya kufanikiwa kuingia katika hatua hiyo usiku wa Agosti 9,2011 katika Hotel ya Giraffe Ocean View jijini Dar es Salaam. Mshindi wa taji la TOP MODEL atajinyakulia tiketi ya moja kwa moja ya kuingia Nusu Fainali ya Vodacom Miss Tanzania 2011.

About Author

Advertisement

Post a Comment Blogger

Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii

Note: Only a member of this blog may post a comment.

 
Top