Kumi Bora Ya warembo Wenye Vipaji-Ilala julai 29

image

Hao ni warembo baadhi kati ya warembo 17 walioko katika kambi ya Miss Ilala 2011 Julai 25, mwaka huu walichuana kuwania taji la Mrembo Mwenye Kipaji, shindano lililofanyika katika ukumbi wa Quality Centre uliopo Barabara ya Nyerere jijini Dar es Salaam.

image

Hawa ndio Waandaaji wa mashindano ya Miss Tanzania Hashim Lundenga (katikati) akiwa na mkewe pamoja na Bw. Prashant Patel (kushoto).

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post