BIRTHDAY YA MACHOZI BEND NDANI YA NYUMBANI LOUNGE

image

Machozi Band jana ilikuwa inasherehekea miaka 6 toka ianzishwe band hiyo, sherehe hizo zilikuwa pale kwenye kiota chao cha burudani NYUMBANI LOUNGE. Watu kibao walikuwepo na waimbaji wa machozi walipewa tuzo kwa kazi nzuri walizokuwa wakizifanya kwenye band hiyo

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post