Q CHIEF ATOA POVU BAADA YA NGOMA YAKE MPYA KUVUJISHWA MTANDAONI

Kwa bahati mbaya imeingia mtaani ngoma ya msanii wa Bongo Fleva Q Chief kwa kinachosemekana kuwa imevujishwa na producer wa awali ambaye aliiandaa kazi hiyo.
Q Chief
Amesikika Q Chief kwenye U-Heard katika kipindi XXL ya Clouds Fm leo hii akionyesha kuwa mwenye masikitiko makubwa kutokana na tukio hilo. Kwa madai yake Q Chief amedai kuwa mipango yake ilikuwa ni kuiachia ngoma hiyo mwezi january mwakani kama Mungu angetia baraka zake.

Unaweza kumsikiliza hapa Q Chief wakati akitoa Povu hilo kwenye U-Heard ya leo December 8 kwa kuplay hii video hapa chini.

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post