MAJALIWA AENDA OFISINI KWAKE DODOMA KWA MGUU (Picha)

Kassim Majaliwa
Leo asubuhi ya November 21, 2016. Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa aliamua kutembea kwa mguu kutoka makazi yake yaliyopo Kilimani hadi Ofisini kwake barabara ya Reli mjini Dodoma.
Kassim Majaliwa
 Pichani, Mheshimwa Majaliwa akilekea Ofisini kwake.
Kassim Majaliwa
 (Picha na Ofisi ya Waziri MKuu)
*************

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post