JENNIFER LOPEZ ATHIBITISHA YEYE BADO NI MOTOO...ATUPIA PICHA TATA MTANDAONI.

Pop staa Jennifer Lopez Aka J Lo anadhibitisha kuwa ukijitunza unaweza kuwa na muonekano mzuri ata baada ya kuwa na umri mkubwa.
Jennifer Lopez
Staa huyu wa muziki na filamu ana watoto wawili na ana miaka 47 ila bado anakimbizana na wanamitindo kama Kim Kardashian

Hii post yake imetawali mitandaoni November 4 2016 ikiwa na HashTag #loveyourselffirst.

Kim Kardashian aliwahi kupiga picha kama hii mwaka 2013.

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post