HABARI ZILIZOTUFIKIA HIVI PUNDE :: HOTELI YA KIMBILIO NA ILIYOKUWA KILWA RUINS HOTEL ZATEKETEA KWA MOTO

Hoteli kilwa
Jioni ya leo Imekuwa ni mbaya kwa wakazi na Wamiliki wa Hoteli mbili zilizopo mjini Kilwa Hoteli ya Kimbilio na Iliyokuwa Kilwa Ruins Baada ya Kuteketea kwa Moto.

Hadi sasa chanzo cha moto huo Hakijaweza kujulikana, Pia kukosekana kwa gari la Zimamoto kulisababisha moto huo kushindwa kudhibitiwa na kuweza kuhamia kwenye Nyumba za Jirani na kufanya Uharibiifu wa nyumba hizo pia.
Hoteli kilwa
TAZAMA VIDEO HAPA CHINI YA TUKIO HILO

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post