Unknown Unknown Author
Title: CHEMICAL ASISITIZA KUWA YEYE BADO BIKRA, AWASHANGAA WANAO MPINGA
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Rapper wa kike mwenye swaga za hatari Chemical   Mwana-wa-lubao  amesema anashangazwa kwa kitendo cha baadhi ya watu wanaompinga kuwa ha...

Chemical
Rapper wa kike mwenye swaga za hatari Chemical Mwana-wa-lubao amesema anashangazwa kwa kitendo cha baadhi ya watu wanaompinga kuwa hajawahi kufanya mapenzi.

Hitmaker huyo wa ‘Am Sorry Mama’ amekiambia kipindi cha Kubamba cha Times FM, kuwa aliwahi kuwa na mpenzi lakini waliachana kwa kuwa alikuwa na haraka ya kufanya mapenzi.

Chemical
“Sijawahi kufanya mapenzi hata siku moja. nimeachana na mpenzi wangu kwa sababu hataki kusubiri, nipo single sasa hivi. Sijui watu kwanini hawaamini wanahisi ni kitu ambacho hakiwezekani aisee,” amesema Chemical.

Kwa sasa rapper huyo anafanya vizuri na wimbo wake wa ‘Mary Mary’ aliouachia siku chache zilizopita.
*********

About Author

Advertisement

Post a Comment Blogger

Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii

Note: Only a member of this blog may post a comment.

 
Top