Hit Maker wa "Salome" na "Kidogo" Diamond Platnumz ni Miongoni mwa wasanii kutoka Tanzania wanao wania tuzo mbalimbali Barani Afrika na Marekani.
Hapa naomba nikupe halihalisi ilivyo katika Tuzo zijulikanazo kama AELAAWARDS ambazo Msanii Diamond Platnumz yupo katika Kipengele cha BEST COLLABORATION [AFRICA].
Katika Kipengele hicho anachuana na wasanii PAPA DENIS x KOREDE BELLO na wimbo wao WONDER ambao hadi sasa jamaa hawa wanaongoza kwa kura 16450 huku nafasi ya pili ikishikiliwa na Diamond Platnumz kwa kupata Kura 13001 kupitia wimbo wake wa "KIDOGO" aliyowashirikisha mapacha kutoka Nigeria Peter na Paul OKOYE (P-SQAURE).
Mchuano ni mkali na kama wewe ni Mtanzania na unataka Msanii huyu ashinde Tuzo hiyo basi unatakiwa kumpigia KURA kwa nguvu zote ili aibuke kinara katika Kipengere hicho.
Hapa naomba nikupe halihalisi ilivyo katika Tuzo zijulikanazo kama AELAAWARDS ambazo Msanii Diamond Platnumz yupo katika Kipengele cha BEST COLLABORATION [AFRICA].
Katika Kipengele hicho anachuana na wasanii PAPA DENIS x KOREDE BELLO na wimbo wao WONDER ambao hadi sasa jamaa hawa wanaongoza kwa kura 16450 huku nafasi ya pili ikishikiliwa na Diamond Platnumz kwa kupata Kura 13001 kupitia wimbo wake wa "KIDOGO" aliyowashirikisha mapacha kutoka Nigeria Peter na Paul OKOYE (P-SQAURE).
Mchuano ni mkali na kama wewe ni Mtanzania na unataka Msanii huyu ashinde Tuzo hiyo basi unatakiwa kumpigia KURA kwa nguvu zote ili aibuke kinara katika Kipengere hicho.
LINK YA KUPIGA KURA HII HAPA...BOFYA HAPA
****************
Post a Comment Blogger Facebook
Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii
Note: Only a member of this blog may post a comment.