Mbunge wa Jimbo la Mtama ambaye pia ni Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Nape Moses Nnauye akihutubia wakazi wa kata ya Nachunyu kwenye mkutano maalum wa kuwasha umeme kijijini hapo ambapo aliwaambia wananchi hao kuwa kila jambo aliloliahidi litakamilika mapema.
Mkuu wa Wilaya ya Lindi Mhe. Yahaya Nawanda akiongea wakati wa kuwasha umeme kata ya Nachunyu jimbo la Mtama.
Mbunge wa Jimbo la Mtama ambaye pia ni Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Nape Moses Nnauye akihutubia umati wa wakazi wa kijiji cha Nachunyu wakati wa zoezi la kuwasha umeme kijijini hapo.
Mbunge wa Jimbo la Mtama ambaye pia ni Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Nape Moses Nnauye (kulia) akifungua kitambaa kama ishala ya uwashaji wa umeme katikakata ya Nachunyu.
Mbunge wa Jimbo la Mtama ambaye pia ni Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Nape Moses Nnauye akizungumza na wananchi wa Nachunyu mara baada ya kuwasha umeme katika kata ya Nachunyu.
Post a Comment Blogger Facebook
Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii
Note: Only a member of this blog may post a comment.