Aliyekuwa kocha wa timu ya Taifa ya Nigeria's Super Eagles, Stephen Keshi amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 54 kutokana na ugonjwa wa mstuko wa moyo.
Kocha huyo stephan Kash "Big Boss" mwaka 2013, aliletea sifa nchi yake baada ya kushinda kombe la Africa Cup of Nations.
Kwa mjibu wa ndugu wa kocha huyo Emmanuel Ado, amedhibitisha kuwa kaka yake amefariki ghafla kwani hajawahi kuugua ugonjwa wote na hakuwahi kuonyesha dalili za kuugua kabisa.
Hakika ulimwengu wa soka utamkumbuka duniani kote kwa mchango wake kwenye mchezo wa mpira.
Pumzika kwa amani.
Post a Comment Blogger Facebook
Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii
Note: Only a member of this blog may post a comment.