Huenda rapper AKA wa Afrika Kusini akapata shavu kwenye tamthilia ya Empire msimu ujao.
Waigizaji wa show hiyo iliyotokea kupendwa duniani, Taraji P Henson (Cookie) na Terrance Howard (Lucious Lyon) wapo Afrika Kusini katika ziara maalum iliyoandaliwa na kampuni ya Multi Choice.
AKA aliungana na mastaa hao katika moja ya hafla ya kukutana na kusalimiana na mashabiki wa Afrika Kusini ambapo pia alitumbuiza. Rapper huyo aliyefanya kazi na Diamond na Joh Makini alishare video ikimuonesha akiongea na mastaa hao na kuwaeleza kuwa angependa pia kuigiza kwenye tamthilia ya Empire.
Terrence anasikika akimueleza kuwa wataongea na muongozaji, Lee Daniels ili amuongeze.
“Lucious & Cookie enjoyed the show. Maybe they’ll give me a role on Empire. Tell Lee Daniels about the design,” aliandika AKA kwenye video hiyo na kumtag Lee Daniels.
AKA aliungana na mastaa hao katika moja ya hafla ya kukutana na kusalimiana na mashabiki wa Afrika Kusini ambapo pia alitumbuiza. Rapper huyo aliyefanya kazi na Diamond na Joh Makini alishare video ikimuonesha akiongea na mastaa hao na kuwaeleza kuwa angependa pia kuigiza kwenye tamthilia ya Empire.
Terrence anasikika akimueleza kuwa wataongea na muongozaji, Lee Daniels ili amuongeze.
“Lucious & Cookie enjoyed the show. Maybe they’ll give me a role on Empire. Tell Lee Daniels about the design,” aliandika AKA kwenye video hiyo na kumtag Lee Daniels.
Taraji aliirepost video na kuandika: You were a wonderful host @akaworldwide I AM A BIG FAN OF #AfricanMusic Thank you for being so kind to us! AND YES WE SHOULD HAVE YOU ON THE SHOW @theoriginalbigdaddy.
Post a Comment Blogger Facebook
Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii
Note: Only a member of this blog may post a comment.